Wanariadha wengi wa Afrika Mashariki washindwa kuonyesha umahiri wao Oregon

Your browser doesn’t support HTML5

Wanariadha wengi kutoka nchi za Afrika Mashariki kufikia sasa hawajafanya vyema katika mashindano ya kimataifa ya riadha yanayoendelea mjini Eugrne, Oregon, nchini Marekani, Hata hivyo, Uganda iinaonyesha matumaini ya kufanya vyema zaidi.