Msanni kutoka Tanzania Maalim Nash au Nash MC atembelea studio za VOA Express

Your browser doesn’t support HTML5

Nash MC anasema kwamba miongoni mwa sababu zilizomleta Marekani ni pamoja na kukuza sanaa ya hiphop, kukuza lugha ya kiswahili kwenye sanaa, pamoja na kuhakikisha kwamba muziki wa Afrika mashariki unafikia viwango vya kimataifa.