Tathmini ya masuala ya vijana kwenye manifesto za vyama vya siasa Kenya

Your browser doesn’t support HTML5

Wakati mgombea urais kwa tikiti ya chama cha UDA. William Ruto, akizindua manifesto ya muungano wa Kenya Kwanza, vijana wanatathmini yaliyomo ikilinganishwa na manifesto za vyama au miungano mingine.