Tanzania, Uganda zawasilisha bajeti zao za mwaka 2022/2023

Your browser doesn’t support HTML5

Tanzania na Uganda Jumanne zimewasilisha makadirio ya matumizi ya fedha za serikali ya mwaka 2022/2023 bungeni, ambapo Uganda inakusudia kufadhili sekta ya usalama kwa takriban ya Shilingi Trilion 4 kwenye bajeti yake ya Shilingi Trilion 48.