KWA UNDANI: Waasi wa DRC kukabiliwa na jeshi la jumuiya ya Afrika mashariki
Your browser doesn’t support HTML5
Jumuiya ya Afrika mashariki kupeleka jeshi DRC kupambana na makundi ya waasi. Tunaangazia pia mateso wanayopitia wakimbizi wa DRC wakati dunia inaadhimisha siku ya wakimbizi.