Madaktari, wauguzi na walimu wa Zimbabwe waanza mgomo kulalamikia mishahara duni.

Your browser doesn’t support HTML5

Wafanyakazi hao wanasema kwamba dhamani ya fedha imeshuka kiasi cha mishahara yao kutoweza kumudu gharama ya maisha. Hayo yamejiri licha ya ahadi ya mwezi uliopita kutoka kwa serikali kwamba mishahara ingeongezwa maradufu.