Rais wa Marekani Joe Biden aliwasilisha mpango wake Alhamis kwa mataifa katika bara la Amerika kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa

Your browser doesn’t support HTML5

Biden alisema ushirikiano wa Marekani kwa ustawi wa kiuchumi utashughulikia mzozo wa hali ya hewa moja kwa moja kwa mawazo sawa tunayoyaleta kazini nchini Marekani