MATANGAZO YA JIONI: Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta asifu utawala wake katika hotuba ya kuadhimisha siku ya Madaraka

Your browser doesn’t support HTML5

Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.