Kenya yaadhimisha miaka 59 tangu kupata Madaraka ya kuwa na utawala wa ndani, ikiwa sherehe ya mwisho chini ya utawa wa Kenyatta.

Your browser doesn’t support HTML5

Maadhimisho hayo yaliongozwa na rais Uhuru Kenyatta na kuhudhuriwa na takriban watu 30,000 kwenye bustani ya Uhuru wakiwemo viongozi wa ngazi za juu, bila kuwepo kwa naibu rais William Ruto ambaye ofisi yake ilisema hakualikwa.