Rais mpya wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud anaanza muhula wake wa miaka minne akikabiliwa na changamoto kuu ya kisiasa

Your browser doesn’t support HTML5

Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud anaanza muhula wake wa miaka minne akikabiliwa na masuala makuu yanayojulikana ikiwemo mgawanyiko wa kisiasa nchini humo na kuongezeka kwa mashambulizi yanayofanywa na kundi la uasi la Al-Shabaab lenye uhusiano na al-Qaida