Hisia mseto zatolewa baada ya mwanamke kuteuliwa kuwa mgombe mwenza wa urais nchini Kenya

Your browser doesn’t support HTML5

Bi Martha Karua, ambaye aliwania urais mwaka wa 2013, ameteuliwa kuwa mgombea mwenza wa Raila Odinga, anayepeperusha bendera ya muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, baada ya siku nyingi za mivutano ya kisiasa katika muungano huo.