Polisi wa Somalia anasema watu saba walijeruhiwa Jumatano katika shambulizi la kujitoa mhanga

Your browser doesn’t support HTML5

Msemaji wa polisi nchini Somalia Abdifatah Adan Hassan aliwaambia waandishi wa habari mlipuko wa kujitoa mhanga karibu na uwanja wa ndege wa Mogadishu ambalo ni eneo la uchaguzi wa Rais siku ya Jumapili umejeruhi watu saba