Polisi wa Kenya wanasa silaha kadhaa huku marufuku ya kutoka nje katika jimbo la Marsabit ikiendelea

Your browser doesn’t support HTML5

Maafisa wa serikali ya Kenya wanasema marufuku iliyowekwa ya kutotoka nje katika jimbo la Marsabit imeanza kuleta tija huku silaha mbaimbali zikinaswa na kupelekea hali ya matumaini ya kuimarisha usalama uliokuwa umezorota.