Wataalamu wa mitandao wanaitaka Afrika kuongeza kasi katika kukabiliana na wahalifu
Your browser doesn’t support HTML5
Nchi za kusini mwa jangwa la Sahara ni baadhi ya masoko ya mtandaoni yanayokuwa kwa kasi duniani jambo ambalo linazifanya kuvutia na kukabiliwa na uhalifu wa mtandaoni, wanasema wataalamu.