Wanamgambo washambulia gereza Burkina Faso, wawaachilia wafungwa 60

Your browser doesn’t support HTML5

Wanamgambo wamewaachilia takriban wafungwa 60 katika shambulizi kwenye gereza moja iliyoko kaskazini magharibi mwa Burkina Faso usiku wa kuamkia Jumapili, na kupora ofisi na kuchoma moto magari kabla ya kukimbia, wamesema hayo maafisa wawili wa usalama pamoja na chanzo cha mahakama.