Watu 16 wakiwemo wanajeshi tisa wamefikishwa mahakamana wakituhumiwa kuuza silaha huko DRC
Your browser doesn’t support HTML5
Silaha za jeshi zinashukiwa kuangukia kwenye mikono ya kundi lenye sifa mbaya la CODECO linalolaumiwa kwa mauaji ya kikabila katika jimbo la kaskazini-mashariki la Ituri huko Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC)