Kenya imekuwa mwenyeji wa mkutano marais wa kikanda kujadili M23

Your browser doesn’t support HTML5

Kenya imekuwa mwenyeji wa mkutano wa marais wa Uganda, DRC, na Rwanda kujadili M23. Makundi ya vijana wa Rutshuru, Kivu Kaskzini, DRC yamtaka Rais Felix Tshisekedi kuepuka mazungumzo na M23. Wakili wa kujitegemea wa Tanzania Peter Madeleka amedaiwa kukamatwa na wanaodaiwa polisi.