Idadi ya watu waliofariki kwa mafuriko Afrika kusini imefikia 440

Your browser doesn’t support HTML5

Idadi ya watu waliofariki kutokana na mafuriko yaliyotokea Afrika kusini iliongezeka hadi 440 siku ya Jumapili huku mvua ikipungua na kuruhusu shughuli za uokoaji kushika kasi baada ya moja ya dhoruba iliyosababisha vifo zaidi katika kumbukumbu za maisha