Tanzania yazindua ujenzi wa reli ya kisasa SGR kipande cha Makutupora mpaka Dodoma

Your browser doesn’t support HTML5

Serekali ya Tanzania imezindua ujenzi wa reli ya kisasa SGR kipande cha Makutupora mpaka Tabora na kuunganisha mataifa ya Rwanda, Burundi, na DRC. Dunia yaadhimisha siku ya mtoto wa mitaani ambapo changamoto kubwa inaelezwa kuwa ni kutoweka msisitizo kwanye shauri hili.