Mjadala wa Live talk: Siasa za Kenya kuelekea uchaguzi mkuu Agosti mwaka huu

Your browser doesn’t support HTML5

Vyama vya siasa nchini Kenya kuandaa uchaguzi wa mchujo mwezi huu wa April. Kennes Bwire akishirikiana na Idd Ligongo wanaongoza mjadala wa Live talk, wakiwashirikisha wachambuzi wa siasa Danstan Omar, Koigi Wamwere na Hamisa Zaja