Serikali ya Kenya yatangaza kwamba watu milioni 2.8 wanakabiliwa na njaa.

Your browser doesn’t support HTML5

Watu milioni 2.8 wanakabiliwa na mahitaji ya chaklula ya haraka katika kaunti 23 hii ikiwa ni ongezeko la kutoka watu milini 2.1 waliokabiliwa na njaa mwezi Septemba mwaka jana.Kaungti ambazo zinaathrika zaidi ni Baringo, Isiolo, Mandera,Marsabit, Samburu, Turkana na Kilifi.