Viongozi wa dunia wakutana kujadili uvamizi wa Russia nchini Ukraine

Your browser doesn’t support HTML5

Mataifa ya magharibi yameonya rais wa Russia Vladimir Putin kwamba nchi yake italipia gharama ya uharibifu unaotokea Ukraine. Korea Kaskazini imefanya jaribio la kombora la masafa ya mbali Alhamisi. Idadi ya vifo katika shambulizi la Somalia imeongezeka.