Duniani Leo Rais Biden atangaza kuongeza vituo vya kupima COVID-19 22 Desemba, 2021 Your browser doesn’t support HTML5 Rais wa Marekani Joe Biden aeleza mipango ya kupanua vituo vya kupima virusi vya corona kote nchini hatua iliyopokelewa kwa mtizamo tofauti tofauti. Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C. #habari