Abiy Ahmed atembelea Lamu na Uhuru Kenyatta

Your browser doesn’t support HTML5

Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed akamilisha ziara yake Kenya baada ya mazungumzo ya kuimarisha ushirikiano kati ya nchi hizo mbili.
Rais mteule wa Marekani Joe Biden atangaza sera zake za kijeshi alipokua anamtaja waziri mteule wa ulinzi, Jenerali Lloyd Austin, akiwa Mmarekani wa kwanza mweusi kushikilia nyadhifa hiyo.