Angelique Kidjo ashiriki kwenye tamasha la kimitandao la kutetea haki za kijamii
Your browser doesn’t support HTML5
Wanamuziki mashuhuri akiwemo Angelique Kidjo ni miongoni mwa wanaoshirikikwenye tamasha la kimitandao la kutetea haki za kijamii na ambalo litachangisha fedha wakati wa maadhimisho ya 75 tangu kubuniwa kwa Umoja wa Mataifa.