Maziko ya George Floyd yafanyika Houston

Your browser doesn’t support HTML5

Maelfu ya watu walijitiokeza kutoa heshima zao za mwisho kwa Mmarekani mweusi George Floyd aliyeuliwa na afisa wa polisi mzungu mjini Minneapolis, Jumatatu, Mei 25, 2020.
George Floyd Mmarekani mweusi mwenye umri wa miaka 46 aliyeuliwa na polisi mzungu anageuka na kua sura ya kimataifa kwa ajili ya vita dhidi ya ubaguzi wa rangi na utumiaji nguvu wa polisi. Maelfu ya watu walitoa heshima zao za mwisho kwa Floyd Jumatatu June 7, 2020 wakati hakimu akimfungulia rasmi mashtaka afisa wa polisi anaetuhum kwa mauwaji yake mjini Minneapolis