Aghathon Rwasa, kiongozi wa upinzani Burundi azungumzia uchaguzi wa 2020
Your browser doesn’t support HTML5
Kiongozi wa upinzani wa Burundi Agathon Rwasa anasema kuna njama za kuhujumu matokeo ya uchaguzi wa 2020, na watatumia kila nja ya kisheria kuhakikisha haki inatendeka.