Mkutano wa Angola : Uganda, Rwanda zafikia maelewano

Your browser doesn’t support HTML5

- Pande zote mbili zaahidi kuwaachia huru wafungwa wanaowashikilia na kutowaunga mkono waasi wanaonuia kuleta uhasama baina yao
- Viongozi hao wameahidi kurejesha amani, ujirani mwema na kuaminiana kati yao.