Watu 5 wauwawa katika Shambulizi la wanamgambo wa kiislamu Somalia

Your browser doesn’t support HTML5

Raia wanne na mwanajeshi mmoja wameuwawa katika shambulizi la wanamgambo wa kiislamu nchini Somalia walioshambulia kituo cha jeshi kaskazini mwa mji mkuu Mogadishu , vyanzo vya kijeshi na walioshuhudia wamesema hivi leo.