Eliud Wabukhala asema Marekani inasaidia katika vita dhidi ya ufisadi Kenya
Your browser doesn’t support HTML5
Katika mahojiano na Kennedy Wandera wa VOA mjini Nairobi mwenyekiti wa tume ya kupambana na ufisadi Kenya , amesema hatua ya Marekani inasaidia sana katika vita dhidi ya ufisadi.