Duniani Leo September 10, 2019
Your browser doesn’t support HTML5
Rais wa Sudan kusini Salva Kiir na kiongozi wa upinzani Dkt. Riek Machar, wamekubaliana kuanza kutekeleza awamu ya pili ya mkataba wa amani. Na waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson ameahirisha kikao cha baraza kuu la bunge la nchi hiyo kwa muda wa wiki tano .