Wahamiaji 100 waliokuwa kwenye meli ya wahisani wafika Italia
Your browser doesn’t support HTML5
Karibu wahamiaji 100 waliokuwa wamekwama baharini kwenye meli ya kutoa msaada ya Open arms, pwani ya Lampedusa, hatimaye wameshuka kutoka kwenye meli hiyo katika kisiwa cha Italia, jumanne usiku.