Kukosa muelekeo ni tatizo ya baadhi ya viongozi - Paul Kagame

Your browser doesn’t support HTML5

Rais Paul Kagame wa Rwanda akishirikiana na mchungaji maarufu wa Marekani Rick Waren wamesema baadhi ya mambo kwenye uongozi wa watu na mataifa yanashindwa kwenda vema kutoka na viongozi kukosa mwelekeo