Fainali za kandanda Afrika zashangaza wengi - Kalusha Bwalya

Your browser doesn’t support HTML5

Mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya Zambia amesema mashindano ya mwaka huu ya kombe la Afrika yamewashangaza wengi kwa timu ngeni katika mashindano hayo kufanya vyema, na baadhi ya timu kongwe kuondolewa mapema katika mashindano hayo.