Biashara huria Afrika kukumbwa na changamato ya udhaifu wa miundo mbinu
Your browser doesn’t support HTML5
Pamoja na makubaliano ya nchi 54 yaliyofanywa ya soko huru barani Afrika huko Niger Jumapili kuleta matumaini makubwa kwa wafanyabiashara, udhaifu wa miundo mbinu umetajwa kama kitu kitakachofanya mchakato huo kwenda taratibu sana