Hali ya usalama yanukia Sudan
Your browser doesn’t support HTML5
Uongozi wa baraza la kijeshi –MTC la Sudan na wanaharakati wanaopenda demokrasia wamefikia makubaliano kushirikiana madaraka wakati wa kipindi cha mpito kuelea kwenye utawala wa kiraia , ikiwemo kuunda serikali itakayoongozwa na waziri mkuu