Duniani Leo June 14th, 2019
Your browser doesn’t support HTML5
Ndani ya Duniani Leo: Rais wa Jamhuri ya Demokrasia ya Congo Felix Tshsekedi amekamilisha ziara yake nchini Tanzania na Rais Ibrahim Boubacar Keita wa Mali atembelea kijiji cha kati kati ya nchi ambako mauwaji ya halaiki yalitokea ambako karibu watu 90 waliuliwa