Duniani Leo May 7, 2019
Your browser doesn’t support HTML5
Manusura wa ajali ya boti katika ziwa Kivu Mashariki mwa Congo wameiomba serikali kuwapa vifaa vya kujikinga pindi ajali zitokeapo kwenye ziwa hilo. Wananchi wa Afrika kusini kupiga kura kesho , katika uchaguzi ulikuwa na ushindani mkali.