Joe Biden aongoza katika kinyanganyiro cha kugombea urais ndani ya chama cha Demokratik

Your browser doesn’t support HTML5

Wakati macho na masikio sasa yanaelekezwa katika siasa za uchaguzi mkuu utakaofanyika mwaka ujao , Makamu wa Rais wa zamani wa Marekani Joe Biden anaongoza katika kinyanganyiro cha kugombea tiketi ya urais ndani ya chama cha Demokratik kwa mujibu wa kura mpya za maoni zilizotolewa wiki hii.