Duniani Leo April 15, 2019
Your browser doesn’t support HTML5
Waandamanaji wa Sudan wazuia wanajeshi kuwaondoa kwa nguvu waandamanaji wenzao waliokita kambi nje ya wizara ya ulinzi. Rais wa DRC Felix Tshisekedi amewaahidi kudunisha aman na usalama alipotembelea jimbo la Beni