Maabara maalumu ya uchunguzi wa mchele yafunguliwa Misri

Your browser doesn’t support HTML5

Misri imeanzisha maabara maalumu ya kuchunguza mchele unaogizwa kutoka nje kabla haujapelekwa masokoni. Maabara hii imefanikiwa kuondoa mchele isiyo na viwango kuingia nchini humo.