Washington Bureau

Your browser doesn’t support HTML5

Wademokrat wa Baraza la wawakilishi waongoza shinikizo kwa Rais Trump kwa kuanza uchunguzi katika fedha zake na uwezekano wa kuhusika na rashida katika kuingilia kati uchaguzi wa Marekani wa 2016 wakati huo huo Maafisa wa ikulu ya Marekani wana wasiwasi kwamba wanafunzi wengi Marekani hawasomi hesabu na sayansi chu kikuu.