Wananchi wa Nigeria wasubiri matokeo ya Uchaguzi ya Urais
Your browser doesn’t support HTML5
Baada ya kumalizika zoezi la kupiga kura katika uchaguzi wa Rais na wabunge, wanaigeria wamekesha katika kituo cha tume huru ya uchaguzi kusubiri matokeo ya nani ameibuka rais wa nchi hiyo.