Wanafunzi DRC walilazimika kurejeshwa nyumbani kuhofia hali ya usalama

Your browser doesn’t support HTML5

Wanafunzi walilazimika kurejeshwa nyumbani kuhofia hali ya usalama baada ya wafuasi wa Mgombea Martin Fayulu kuendelea na maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi