Chama tawala na wapinzani wajitangazia ushindi DRC
Your browser doesn’t support HTML5
Wapinzani waliowakilishwa na Martin Fayulu na Felix Tshisekedi na mgombea wa chama tawala Emmanuel Ramazani Shadary wote wamedai kushinda katika uchaguzi uliofanyika mwisho wa mwaka jana.