Wapinzania Tanzania wapinga muswada wa sheria ya vyama vya siasa

Your browser doesn’t support HTML5

Umoja wa wapinzania Tanzania wamefungua kesi mahakamani kupinga muswada wa sheria wa vyama vya siasa wakiomba mahakama hiyo kuzuia muswaada, huo ambao unatarajiwa kujadiliwa kwenye bunge la baadaye mwezi huu.