Rais Trump kusema kwamba ISIS wameshindwa

Your browser doesn’t support HTML5

Wabunge wa Marekani wameshangazwa na kukasirishwsa na uwamuzi wa Rais Donald Trump kutangaza kwamba wapiganaji wa kislamu wenye itikadi kali wa Islamic State wameshindwa na hivyo kubadili sera za Marekani kuelekea Syria