Uchaguzi wa DRC waahirishwa
Your browser doesn’t support HTML5
Fununu ziliaanza kujitokeza kwamba uchaguzi mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo utasitishwa mpaka mwisho wa mwaka huu, kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo kufanyika tarehe 23 Desemba.