DRC yaongezewa muda vikwazo na UN

Your browser doesn’t support HTML5

Baadhi ya viongozi wa upinzani wameupongeza umoja wa mataifa kwa kuongeza muda wa vikwazo kwa mgombea wa urais kupitia chama tawala Emmanuel Shadari zikiwa zimebaki siku chache kabla ya uchaguzi mkuu baadaya mwezi huu.