Duniani Leo December 7th, 2018

Your browser doesn’t support HTML5

Zaidi ya watu 30 waauwawa katika mashambulizi mawili yanayodaiwa kufanywa na kikundi cha waasi cha Allied Democratic Forces ADF katika eneo la Beni, Mashariki mwa jamhuri ya kidemokrasia ya Congo. Wanafunzi wa shule za sekondari nchini Ufaransa waandamana kupinga mageuzi katika sekta ya elimu.